forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
642 B
Markdown
28 lines
642 B
Markdown
# pia ni kuwapa hekima wajinga
|
|
|
|
' pia kuwafunza wale ambao ni wajinga namna ya kuwa na busara"
|
|
|
|
# wajinga
|
|
|
|
"bila uzoefu, isiyo kamavu/uchanga"
|
|
|
|
# kuwapa maarifa na busara vijana
|
|
|
|
"na kuwafunza vijana wanachohitaji kufahamu na jinsi ya kutambua jambo zuri la kufanya"
|
|
|
|
# busara
|
|
|
|
kufahamu kinachopaswa kufanyika katika mazingira husika.
|
|
|
|
# Watu wenye busara wasikie na kuongeza elimu yao
|
|
|
|
"Wale wenye busara wazingatie na kujifunza zaidi"
|
|
|
|
# watu wenye ufahamu wapate mwongozo
|
|
|
|
"watu wenye ufahamu wajifunze kwa methali hizi jinsi ya kufanya maamuzi mazuri"
|
|
|
|
# vitendawili
|
|
|
|
misemo ambayo mtu anaweza kuifahamu baada tu ya kutafakari juu yake.
|