forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
628 B
Markdown
20 lines
628 B
Markdown
# Ndugu
|
|
|
|
anawazungumzia wale watu ambao penginenwalitumika pamoja au na Paulo.
|
|
|
|
# ndugu
|
|
|
|
neno hili humaanaisha Wakristo wenza, ikijumuisha wanaume na wanawake, kwa kuwa waumini wote katika Kristo ni washiriki warithi wa familia moja ya kiroho, ambayo Mungu ni baba wa mbinguni.
|
|
|
|
# kila muumini...waumini wote
|
|
|
|
Baadhi ya matoleo yametafsiri kutumia "mtu mtakatifu" na "watu watakatifu"
|
|
|
|
# hususani wale wa familia Kaisari
|
|
|
|
Hii inazungumzia watumishi waliofanya kazi kwenye eneo la Kaisari.
|
|
|
|
# pamoja na roho zenu
|
|
|
|
Paulo anazungumzia waumini kwa kutumia neno "roho," ambayo huwawezesha wanadamu kuhusiana na Mungu. "pamoja nanyi"
|