forked from WA-Catalog/sw_tn
628 B
628 B
Ndugu
anawazungumzia wale watu ambao penginenwalitumika pamoja au na Paulo.
ndugu
neno hili humaanaisha Wakristo wenza, ikijumuisha wanaume na wanawake, kwa kuwa waumini wote katika Kristo ni washiriki warithi wa familia moja ya kiroho, ambayo Mungu ni baba wa mbinguni.
kila muumini...waumini wote
Baadhi ya matoleo yametafsiri kutumia "mtu mtakatifu" na "watu watakatifu"
hususani wale wa familia Kaisari
Hii inazungumzia watumishi waliofanya kazi kwenye eneo la Kaisari.
pamoja na roho zenu
Paulo anazungumzia waumini kwa kutumia neno "roho," ambayo huwawezesha wanadamu kuhusiana na Mungu. "pamoja nanyi"