sw_tn/php/04/21.md

628 B

Ndugu

anawazungumzia wale watu ambao penginenwalitumika pamoja au na Paulo.

ndugu

neno hili humaanaisha Wakristo wenza, ikijumuisha wanaume na wanawake, kwa kuwa waumini wote katika Kristo ni washiriki warithi wa familia moja ya kiroho, ambayo Mungu ni baba wa mbinguni.

kila muumini...waumini wote

Baadhi ya matoleo yametafsiri kutumia "mtu mtakatifu" na "watu watakatifu"

hususani wale wa familia Kaisari

Hii inazungumzia watumishi waliofanya kazi kwenye eneo la Kaisari.

pamoja na roho zenu

Paulo anazungumzia waumini kwa kutumia neno "roho," ambayo huwawezesha wanadamu kuhusiana na Mungu. "pamoja nanyi"