forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
654 B
Markdown
28 lines
654 B
Markdown
# Sentensi Unganishi
|
|
|
|
Paulo anawatia moyo Wakristo wa Filipino na kuwaonyesha jinsi ya kuishi maisha ya Kikristo mbele ya wengine na na kuwakumbusha mfano wake.
|
|
|
|
# mpendwa wangu
|
|
|
|
"wapendwa wangu waamini"
|
|
|
|
# katika uwepo wangu
|
|
|
|
"wakati nikiwa nanyi hapo"
|
|
|
|
# katika kutokuwepo kwangu
|
|
|
|
"wakati pasipo uwepo wangu nanyi hapo"
|
|
|
|
# wajibikieni wokovovu wenu
|
|
|
|
"kuendelea kumtii Mungu"
|
|
|
|
# kwa hofu na kutetemeka
|
|
|
|
neno "hofu" na "kutetemeka" kimsingi inamaana moja. Paulo anayatumia kusisitiza utakatifu mbele za Mungu" "tetemeka na hofu" au "na utakatifu wa ndani"
|
|
|
|
# wote kunia na kutenda
|
|
|
|
"Mungu hutenda kwa hiyo basi mtatamani kumtii na kwa hiyo basi mtamtii"
|