sw_tn/php/02/12.md

654 B

Sentensi Unganishi

Paulo anawatia moyo Wakristo wa Filipino na kuwaonyesha jinsi ya kuishi maisha ya Kikristo mbele ya wengine na na kuwakumbusha mfano wake.

mpendwa wangu

"wapendwa wangu waamini"

katika uwepo wangu

"wakati nikiwa nanyi hapo"

katika kutokuwepo kwangu

"wakati pasipo uwepo wangu nanyi hapo"

wajibikieni wokovovu wenu

"kuendelea kumtii Mungu"

kwa hofu na kutetemeka

neno "hofu" na "kutetemeka" kimsingi inamaana moja. Paulo anayatumia kusisitiza utakatifu mbele za Mungu" "tetemeka na hofu" au "na utakatifu wa ndani"

wote kunia na kutenda

"Mungu hutenda kwa hiyo basi mtatamani kumtii na kwa hiyo basi mtamtii"