sw_tn/num/31/01.md

8 lines
260 B
Markdown

# Uwalipizie kisasi Wamidiani kwa kile walichowafanyia Waisraeli
BWANA alikuwa anawaadhibu Wamidiani kwa sababu waliwashawishi kuabudu masanamu
# utakufa na kukusanyika nawatu wako
Ni tafsida ya Musa kufa n a roho yake kwenda kule ambako mababu zake waliko