sw_tn/num/31/01.md

8 lines
260 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Uwalipizie kisasi Wamidiani kwa kile walichowafanyia Waisraeli
BWANA alikuwa anawaadhibu Wamidiani kwa sababu waliwashawishi kuabudu masanamu
# utakufa na kukusanyika nawatu wako
Ni tafsida ya Musa kufa n a roho yake kwenda kule ambako mababu zake waliko