sw_tn/num/27/22.md

436 B

na kumweka mbele ya

"na akamwambia kusimama mbele ya"

Akaweka mikono yake juu yake na kumwamuru aongoze

kiwakilishi "a" kinamaanisha Musa, na kiwakilishi "ku" kinamwakilisha Joshua.

Akaweka mikono yake yake

Kitendo cha kuweka mikono ilikuwa njia ya kumweka mtu wakfu ili afanye kazi maalumu ya Mungu.

aongoze

"kuwa kiongozi wa Waisraeli"

kama BWANA alivyokuwa amemwamuru kufanya

kiwakilishi "mu" kinamwakilisha Musa