|
# Taarifa kwa ujumla
|
|
|
|
Viongozi wa Israeli wanawahesabu wanaume wenye umri wa miaka 20 na zaidi, kwa kufuata makabila yao na familia zao.
|
|
|
|
# ndiye aliyekuwa mzaliwa wa kwanza wa Israeli
|
|
|
|
"Israeli" inamaanisha Yakobo
|
|
|
|
# kutoka kwa mwana wake
|
|
|
|
Neno "wake" inamaanisha Reubeni
|