forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
587 B
Markdown
20 lines
587 B
Markdown
# Taarifa kwa ujumla
|
|
|
|
Balaamu anaendelea kutabiri kwa uwezo wa Mungu
|
|
|
|
# Wamesambaa kama bonde
|
|
|
|
Balaamu anawaongelea Waisraeli kuwa walikuwa wengi kiasi cha kulijaza bonde lote
|
|
|
|
# kama bustani zilizo pembezonimwa mto
|
|
|
|
Balaamu anawaongelea Waisraeli kama bustani iliyomwagiliwa maji na itoayo mavuno menegi.
|
|
|
|
# kama miti ya mishubiri iliyopandwa na Mungu
|
|
|
|
"Mishubiri ambayo BWANA ameipanda"
|
|
|
|
# kama mfano wa mierezi pembezoni mwa maji
|
|
|
|
Mierezi ilikuwa miti mierfu sana huko Israeli. Balaamu anawaongelea Waisraeli kama mierezi iliyokuwa sana na kuwa miti mikubwa kwa sababu ya maji mengi.
|