sw_tn/num/23/23.md

333 B

Hakuna uganga utakaofanyika dhidi ya Yakobo ... hakuna uchawiutakaomwumiza Israeli

Virai hivi vinamaanisha kitu kilekile kwamba; hakuna laana ambayo mtu yeyote ataifanya katika taifa la Israaeli itakayofanikiwa.

Itasemwa

"watu watasema"

Tazama kile ambacho Mungu amefanya

"Yatazame mambo mazuri ambayo Mungu amewafanyia!"