sw_tn/num/22/31.md

469 B

Basi BWANA akafungua macho ya Balaamu, na akamwona malaika wa BWANA

"Kisha BWANA akampa Baalamu uwezo wa kumwonamalaika wa BWANA"

akiwa na upanga mkononi mwake

Tazama 22:21

Balaamu akainamisha kichwa chake chini

Balaamu akajinyenyekeza

Kwa nini umempiga punda wako mara tatu

"usingempiga punda wako mara tatu

kama adui yako

"ili kukupinga"

Kama asingekuwa amegeuka kutoka kwangu... ningekuwa nimekuua na yeye kumwacha hai

punda alimwokoa Balaamu