forked from WA-Catalog/sw_tn
829 B
829 B
Baalaki mwana wa Zippori
Balaki alikuwa mfalme wa Moabu
Moabu aliwaogopa sana hao watu ... Moabu aliwahofia wana wa Israeli
Virai vyote viwili vinamaanisha kitu kilekile na vimetumika kuonesha jinsi Moabu alivyokuwa amaeogopa
Moabu aliogopa sana
"Wamoabu wote walikuwa wameogopa sana"
Kwa sababu walikuwa wengi sana
"Kwa sabau ya wingi wao"
Mfalme wa Moabu akawaambia wazee wa Midiani
Wamobau na Wamidiani walikuwa watu wa makundi mawili tofauti, lakini Wamidiani walikuwa wanishi kwenye nchi ya Moabu wakati ule.
Huu umati utakula kila kitu tulicho nacho kama vile maksai walavyo nyasi za kondoni
Jinsi Waisraeli watavyowaangamiza maadui zao kumeongolewa kama vile makaisai wanavyokula nyasi za kondeni
Sasa Balaki mwana wa Zippori alikuwa mfalme wa Moabu
Huu ndio wasifu wa Balaki katika habari hii