forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
829 B
Markdown
28 lines
829 B
Markdown
|
# Baalaki mwana wa Zippori
|
||
|
|
||
|
Balaki alikuwa mfalme wa Moabu
|
||
|
|
||
|
# Moabu aliwaogopa sana hao watu ... Moabu aliwahofia wana wa Israeli
|
||
|
|
||
|
Virai vyote viwili vinamaanisha kitu kilekile na vimetumika kuonesha jinsi Moabu alivyokuwa amaeogopa
|
||
|
|
||
|
# Moabu aliogopa sana
|
||
|
|
||
|
"Wamoabu wote walikuwa wameogopa sana"
|
||
|
|
||
|
# Kwa sababu walikuwa wengi sana
|
||
|
|
||
|
"Kwa sabau ya wingi wao"
|
||
|
|
||
|
# Mfalme wa Moabu akawaambia wazee wa Midiani
|
||
|
|
||
|
Wamobau na Wamidiani walikuwa watu wa makundi mawili tofauti, lakini Wamidiani walikuwa wanishi kwenye nchi ya Moabu wakati ule.
|
||
|
|
||
|
# Huu umati utakula kila kitu tulicho nacho kama vile maksai walavyo nyasi za kondoni
|
||
|
|
||
|
Jinsi Waisraeli watavyowaangamiza maadui zao kumeongolewa kama vile makaisai wanavyokula nyasi za kondeni
|
||
|
|
||
|
# Sasa Balaki mwana wa Zippori alikuwa mfalme wa Moabu
|
||
|
|
||
|
Huu ndio wasifu wa Balaki katika habari hii
|