sw_tn/num/21/33.md

20 lines
321 B
Markdown

# akatofautiana nao
"aliwavamia"
# Mfanyeni kama mlivyomfanya Sihoni
"Mwangamizeni kama mlivyomwagamiza Sihoni mfalme wa Waamori"
# Kwa wakamwua
"Kwa hyo jeshi la Israeli likamwua Ogu"
# wote wakaisha na hakubaki hata mmoja aliyebaki hai
"watu wake wote waliuawa"
# wakaichukua nchi yake
"wakaitawala nchi yake"