forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
436 B
Markdown
12 lines
436 B
Markdown
# Wana wa Israeli, watu wote
|
|
|
|
Kirai cha "watu wote" kinasisitiza kuwa kia mtu aliyekuwa sehemu ya Waisraeli alikuwepo bila kuwa na udhuru
|
|
|
|
# Haruni kukusanyika na watu wake
|
|
|
|
Hii ni tafsida ya kusema kuwa Haruni atakufa. Ni wakati wa Haruni kufa na roho yakae kwenda mahali walipo mababu zake. "Haruni atakufa"
|
|
|
|
# hamkutii sauti yangu
|
|
|
|
"sauti yangu" inamaanisha kile ambacho Mungu alikuwa amesema," Mlikataa kufanya nilichokuwa nimeema"
|