sw_tn/num/20/17.md

323 B

Sentensi unganishi

Wale watumishi wanaendelea kuongea na mfalme wa Edomu

Hatutageuka upande wa kulia wala wa kushoto

Neno "kugeuka" linamaanisha kuiacha barabara, "Hatutaiacha barabara kwa uelekeo wowote"

nia kuu ya mfalme

Hii ni barabara kuu inayounganisha mpaka Dameski hadi Kaskazini kwenye ghuba ya Akabahi.