sw_tn/num/19/11.md

716 B

Taarifa kwa ujumla

wazo la "usafi" na "Utakatifu" linamaanisha kukubalika kwa Mungu

Taarifa kwa ujummla

wazo la "unajisi" na "uchafu," "kutokuwa msafi"linamaanisha kutokukubalika kwa Mungu.

maiti

"mwiliya mtu aliyekufa"

lakini kama hajajitakasa

"aomba mtu wa kumtakasa"

lakini kama hajajitasa mwenyewe katika siku ya tatu, basi hatakuwa safi katika siku ya saba

"atakuwa safi siku ya saba tu iwapo kama atajitakasa siku ya tatu"

mtu huyo ataondolewa

tazama 9:13

maji ya farakano yalikuwa hayajanyunyiziwa kwake

"hakuna alimnyunyizia maji ya farakano"

Atabaki najisi; na unajisi wake utabaki kwake

Virai hivi viwili vinamaanisha kitu kilekile. Vimetumika kwa pamoja kuonesha msisitizo