forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
716 B
Markdown
32 lines
716 B
Markdown
|
# Taarifa kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
wazo la "usafi" na "Utakatifu" linamaanisha kukubalika kwa Mungu
|
||
|
|
||
|
# Taarifa kwa ujummla
|
||
|
|
||
|
wazo la "unajisi" na "uchafu," "kutokuwa msafi"linamaanisha kutokukubalika kwa Mungu.
|
||
|
|
||
|
# maiti
|
||
|
|
||
|
"mwiliya mtu aliyekufa"
|
||
|
|
||
|
# lakini kama hajajitakasa
|
||
|
|
||
|
"aomba mtu wa kumtakasa"
|
||
|
|
||
|
# lakini kama hajajitasa mwenyewe katika siku ya tatu, basi hatakuwa safi katika siku ya saba
|
||
|
|
||
|
"atakuwa safi siku ya saba tu iwapo kama atajitakasa siku ya tatu"
|
||
|
|
||
|
# mtu huyo ataondolewa
|
||
|
|
||
|
tazama 9:13
|
||
|
|
||
|
# maji ya farakano yalikuwa hayajanyunyiziwa kwake
|
||
|
|
||
|
"hakuna alimnyunyizia maji ya farakano"
|
||
|
|
||
|
# Atabaki najisi; na unajisi wake utabaki kwake
|
||
|
|
||
|
Virai hivi viwili vinamaanisha kitu kilekile. Vimetumika kwa pamoja kuonesha msisitizo
|