sw_tn/num/19/09.md

353 B

mtu aliyesafi

Mtu aliyesafi na anayeweza kufanya takatifu alihesabiwa kuwa ni msafi.

Majivu haya yatatunzwa

"Mtatayatunza haya majivu"

kwenye eneo safi

Kukubalika kwa kunamaanisha kuwa msafi. "Eneo linalokubalika"

atabaki najisi

Kutokukubalika kwa Mungukulionyesha kutoruhusiwa kufanyakazi yeyote takatifu. Ni ile hali ya kutokuwa msafi.