forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
395 B
Markdown
16 lines
395 B
Markdown
# Je, ni jambo dogo kwenu... ili muwatumikie
|
|
|
|
"mnaishi kana kwamba ni jambo dogo kwenu ... kuwatumikia"
|
|
|
|
# ni jambo dogo kwenu
|
|
|
|
"haitoshi kwenu" au "siyo mhimu kwenu"
|
|
|
|
# mnataka na ukuhani pia
|
|
|
|
"mnataka na huduma ya ukuhani pia" au "mnataka kuwa makuhani pia"
|
|
|
|
# kwa nini mnalalamika juu ya Haruni, ambaye anamtii BWANA?
|
|
|
|
"Kiuhalisia hamumlalamikii Haruuni, bali BWANA, ambaye Haruni anamtii"
|