forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
354 B
Markdown
24 lines
354 B
Markdown
# Kwa nini sasa mnapinga amri ya BWANA?
|
|
|
|
"Hampaswi kuwa mnapinga amri ya BWANA tena"
|
|
|
|
# BWANA hayuko pamoja nayi
|
|
|
|
"BWANA hatawasaidia"
|
|
|
|
# kuwalinda dhidi ya maadui zenu
|
|
|
|
"kuwalinda ili maadui zenu wasiwaangamize"
|
|
|
|
# mtakufa kwa upnga.
|
|
|
|
"watawaua mtakapopigana nao"
|
|
|
|
# mlimtega mgongo BWANA
|
|
|
|
"mliacha kumtii BWANA"
|
|
|
|
# Hatakuwa pmoja nanyi
|
|
|
|
"hatawasaidia"
|