forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
288 B
Markdown
12 lines
288 B
Markdown
# wakati ile nyama ikiwa bado iko kwenye meno, wakiwa bado wanatafuna
|
|
|
|
Sentensi hizi zinamaanishakitu kimoja. "wakati walipokuwa bado wanakula ile nyama"
|
|
|
|
# Mahali pale paliitwa Kibroti Hataava
|
|
|
|
"walipaita mahali pale Kibroti Hataava"
|
|
|
|
# Hazeroti
|
|
|
|
Hili ni eneo la mahali fulani jangwani
|