forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
441 B
Markdown
16 lines
441 B
Markdown
# Taarifa kw aujumla
|
|
|
|
BWANA anaendelea kuongea a Musa
|
|
|
|
# nani atakayetupa nyama tule?
|
|
|
|
"Tunatamani kama tungepata nyama tule"
|
|
|
|
# mpaka zitakapowatokea puani
|
|
|
|
Inaweza kumaanisha 1) Mungu anamaanishsa kutapika kupitia puani au mpaka mtaugua na kutapika 2)watakula nyama nyingi sana kama itakavyokuwa pale zitakapowatokea puani. au "mpaka mtaanza kujisikia kuwa zinataka kutokea puani"
|
|
|
|
# kwa nini tulitoka Misri?
|
|
|
|
"Bora tusingelitoka Misri."
|