forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
759 B
Markdown
36 lines
759 B
Markdown
# ataweka nadhiri ... kwa kuwa ni mnadhiri
|
|
|
|
"kuwa mnadhiri" maana yake ni kujiweka wakfu"
|
|
|
|
# atajiepusha
|
|
|
|
Hii nahau inamaanisha kuwa mtu huyo lazima asinywe hivyo vinywaji wala chakula kilichokatazwa.
|
|
|
|
# kilio kiinachotengenezwa na siki
|
|
|
|
"kileo ambacho watu hutengeneza kutokana na siki"
|
|
|
|
# siki
|
|
|
|
ni kinywaji kinachotokana na divai ilichachushwa kwa muda mrefu na kuwa kinywaji kikali na kichungu
|
|
|
|
# kilevi
|
|
|
|
"au siki iliyotengenezwa kutokana na divai kali"
|
|
|
|
# zabibu zilizokauka
|
|
|
|
"zabibu zilizokaushwa"
|
|
|
|
# ambazo amejitenga
|
|
|
|
"amejitenga kwa ajili yangu"
|
|
|
|
# asile chochote kinachotokana na zabibu
|
|
|
|
"asile chochote ambacho watu huetengeneza kutokana na zabibu"
|
|
|
|
# wala kitu chochote kitokanacho na makokwa hadi maganda
|
|
|
|
"kutokana na kitu chochote cha mizabibu"
|