sw_tn/neh/11/19.md

12 lines
308 B
Markdown

# walinzi wa malango
watu waliopewa kila mlango, wajibu wa kudhibiti upatikanaji wa jiji au hekalu, na kufungua na kufunga milango kwa nyakati na kwa sababu zilizowekwa na msimamizi. Tafsiri kama katika 7:1.
# Akubu....Talmoni.....Siha.....Gishpa
Haya ni majina ya wanaume
# Ofeli
Hili ni jina la eneo.