forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
641 B
Markdown
28 lines
641 B
Markdown
# Katika nyaraka zilizofunikwa walikuwa
|
|
|
|
Unaweza kuhitaji kujaza maneno yasiyopo. "Katika nyaraka zilizofunikwa zilikuwa majina ya watu wafuatayo"
|
|
|
|
# nyaraka zilizofunikwa
|
|
|
|
Nyaraka zimefunikwa baada ya majina kusainiwa kwenye nyaraka.
|
|
|
|
# Nehemia
|
|
|
|
Watu wengine wanaamini kwamba Nehemia aliandika kitabu hiki (angalia UDB) na anajisema mwenyewe kama yeye ni mtu mwingine kwa sababu hii ni orodha rasmi.
|
|
|
|
# Hakalia
|
|
|
|
Hili ni jina la mtu. Tafsiri katika 1: 1.
|
|
|
|
# Sedekia, Seraya......Yeremia, Pashuri, Amaria
|
|
|
|
Haya ni majina ya wanaume
|
|
|
|
# Azaria
|
|
|
|
Hili ni jina la mtu. Tafsiri katika 3:22.
|
|
|
|
# Malkiya
|
|
|
|
Hili ni jina la mtu. Tafsiri katika 3:11.
|