sw_tn/neh/10/01.md

28 lines
641 B
Markdown

# Katika nyaraka zilizofunikwa walikuwa
Unaweza kuhitaji kujaza maneno yasiyopo. "Katika nyaraka zilizofunikwa zilikuwa majina ya watu wafuatayo"
# nyaraka zilizofunikwa
Nyaraka zimefunikwa baada ya majina kusainiwa kwenye nyaraka.
# Nehemia
Watu wengine wanaamini kwamba Nehemia aliandika kitabu hiki (angalia UDB) na anajisema mwenyewe kama yeye ni mtu mwingine kwa sababu hii ni orodha rasmi.
# Hakalia
Hili ni jina la mtu. Tafsiri katika 1: 1.
# Sedekia, Seraya......Yeremia, Pashuri, Amaria
Haya ni majina ya wanaume
# Azaria
Hili ni jina la mtu. Tafsiri katika 3:22.
# Malkiya
Hili ni jina la mtu. Tafsiri katika 3:11.