forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
389 B
Markdown
20 lines
389 B
Markdown
# Wakasimama
|
|
|
|
Waisraeli wote wakasimama
|
|
|
|
# walikuwa wakikiri
|
|
|
|
"walikuwa wanakubali mambo mabaya waliyofanya"
|
|
|
|
# na kuinama mbele
|
|
|
|
"kuabudu" au " kumsifu"
|
|
|
|
# Walawi, Yeshua, Bani....walisimama juu ya ngazi
|
|
|
|
Matoleo mengine yanatafsiri, "Yeshua, Bani ... alisimama juu ya ngazi zilizojengwa kwa Walawi"
|
|
|
|
# Yeshua, Bani, Kadmieli, Shebaniya, Buni, Sherebia, Bani na Kenani
|
|
|
|
majina ya wanaume
|