forked from WA-Catalog/sw_tn
389 B
389 B
Wakasimama
Waisraeli wote wakasimama
walikuwa wakikiri
"walikuwa wanakubali mambo mabaya waliyofanya"
na kuinama mbele
"kuabudu" au " kumsifu"
Walawi, Yeshua, Bani....walisimama juu ya ngazi
Matoleo mengine yanatafsiri, "Yeshua, Bani ... alisimama juu ya ngazi zilizojengwa kwa Walawi"
Yeshua, Bani, Kadmieli, Shebaniya, Buni, Sherebia, Bani na Kenani
majina ya wanaume