forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
512 B
Markdown
28 lines
512 B
Markdown
# Baada yake
|
|
|
|
"Aliyefuata baada yake"
|
|
|
|
# Malkiya
|
|
|
|
Hlii ni jina la mtu.
|
|
|
|
# wafua dhahabu
|
|
|
|
Mfua dhahabu ni mtu anayefanya mapambo ya dhahabu na vitu vingine vya dhahabu.
|
|
|
|
# iliandaliwa kwa nyumba ... wafanyabiashara walijenga
|
|
|
|
Maneno haya yanataja kutengeneza ukuta. AT "waliandaa ukuta kwa nyumba ... wafanyabiashara walijenga ukuta"
|
|
|
|
# wafanyabiashara
|
|
|
|
"wauzaji" au "wafanyabiashara"
|
|
|
|
# chumba cha juu cha pembeni
|
|
|
|
vyumba vya ngazi ya juu ambapo watu walikaa
|
|
|
|
# Lango la Kondoo
|
|
|
|
Hili ni jina la mlango wa ukuta.
|