forked from WA-Catalog/sw_tn
512 B
512 B
Baada yake
"Aliyefuata baada yake"
Malkiya
Hlii ni jina la mtu.
wafua dhahabu
Mfua dhahabu ni mtu anayefanya mapambo ya dhahabu na vitu vingine vya dhahabu.
iliandaliwa kwa nyumba ... wafanyabiashara walijenga
Maneno haya yanataja kutengeneza ukuta. AT "waliandaa ukuta kwa nyumba ... wafanyabiashara walijenga ukuta"
wafanyabiashara
"wauzaji" au "wafanyabiashara"
chumba cha juu cha pembeni
vyumba vya ngazi ya juu ambapo watu walikaa
Lango la Kondoo
Hili ni jina la mlango wa ukuta.