forked from WA-Catalog/sw_tn
949 B
949 B
Maelezo ya jumla:
Nahumu anaelezea uharibifu wa Ninawi katika shairi.
Yule ambaye atakuvunja vipande vipande
Ni namna ya picha ya mtu anayevunja chungu. TN: " Atakuharibu"
Yule ambaye atakuvunja
Mtu ambaye ni "Yule" hajawekwa wazi, kwa hiyo tafsiri inatumia kauli jumuishi: "mtu ambaye atakuvunja vipande vipande."
Linda kuta za mji, linda barabara, jitieni nguvu ninyi wenyewe, yakusanyeni majeshi yenu.
kujitayarisha kwa ajili vita
Linda kuta za mji
"Panga walinzi kwenye kuta kwa ajili ya kukinga"
Maana Yahwe anarejesha fahari ya Yakobo, kama fahari ya Israeli
Hii inamaana kuwa Yahwe atamfanya Yakobo na Israeli kuwa wakuu, na watu watawapenda tena.
wateka nyara
watu wanaoiba vitu kwa nguvu, mara nyingi katika vita
waliwaharibu
waliangamiza kila kitu.
kuharibu matawi ya zabibu zao
hapa taifa linaongelewa kana kwamba ni mzabibu uliolimwa. TN: " na kuling'oa taifa lenu kana kwamba ni shamba la mzabibu"