sw_tn/nam/01/12.md

482 B

Maeleza ya jumla

Yahwe anazungumza kwa Waisraeli juu ya Ninawi.

Wananguvu ... watanyolewa... zao

watu wa Ninawi

hata hivyo watanyolewa

"Watakatwa." Yahwe anatumia picha ya kukata sufu kwenye kondoo kuonyesha njinsi atakavyo liharibu jeshi la Ninawi , hata kama wapo wengi.TN: " wataharibiwa "

nitaivunja ile nira ya watu kutoka kwako

TN: "nitakuweka huru kutoka ktika utumwa mwa watu hao"

nitaikata minyororo yako

"kata minyororo ambayo waliwafunga kama watumwa"