forked from WA-Catalog/sw_tn
482 B
482 B
Maeleza ya jumla
Yahwe anazungumza kwa Waisraeli juu ya Ninawi.
Wananguvu ... watanyolewa... zao
watu wa Ninawi
hata hivyo watanyolewa
"Watakatwa." Yahwe anatumia picha ya kukata sufu kwenye kondoo kuonyesha njinsi atakavyo liharibu jeshi la Ninawi , hata kama wapo wengi.TN: " wataharibiwa "
nitaivunja ile nira ya watu kutoka kwako
TN: "nitakuweka huru kutoka ktika utumwa mwa watu hao"
nitaikata minyororo yako
"kata minyororo ambayo waliwafunga kama watumwa"