forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
482 B
Markdown
20 lines
482 B
Markdown
|
# Maeleza ya jumla
|
||
|
|
||
|
Yahwe anazungumza kwa Waisraeli juu ya Ninawi.
|
||
|
|
||
|
# Wananguvu ... watanyolewa... zao
|
||
|
|
||
|
watu wa Ninawi
|
||
|
|
||
|
# hata hivyo watanyolewa
|
||
|
|
||
|
"Watakatwa." Yahwe anatumia picha ya kukata sufu kwenye kondoo kuonyesha njinsi atakavyo liharibu jeshi la Ninawi , hata kama wapo wengi.TN: " wataharibiwa "
|
||
|
|
||
|
# nitaivunja ile nira ya watu kutoka kwako
|
||
|
|
||
|
TN: "nitakuweka huru kutoka ktika utumwa mwa watu hao"
|
||
|
|
||
|
# nitaikata minyororo yako
|
||
|
|
||
|
"kata minyororo ambayo waliwafunga kama watumwa"
|