sw_tn/mrk/14/55.md

740 B

Sasa

Hili neno limetumika kuweka alama kwa badiliko katika hadithi kama mwandishi anavyoendelea kutuambia kuhusu Yesu kuwekwa kwenye majaribio.

wapate kumwua

Hapakuwa wenyewe ambao wangemwadhibu kifo Yesu; badala yake, wangemuomba mwingine kufanya . "wangemwadhibu kifo Yesu" au "wangeweza kupata mwingine kumwadhibu kifo Yesu"

Lakini hawakuupata

Hawakupata ushuhuda kinyume dhidi ya Yesu ambao wangemtia hatiani na kumwua.

walileta ushuhuda wa uongo dhidi yake

Hapa anaongea ushuhuda wa uongo unoelezwa kama ilikuwa kama kitu halisi ambacho mtu anaweza kubeba. "Mshitaki kwa kusema ushuhuda wa uongo dhidi yake"

hata ushahidi wao haukufanana

Hii inaweza kuandikwa kwa mtindo wa chanya. "lakini ushuhuda wao haukufanana"