forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
740 B
Markdown
20 lines
740 B
Markdown
|
# Sasa
|
||
|
|
||
|
Hili neno limetumika kuweka alama kwa badiliko katika hadithi kama mwandishi anavyoendelea kutuambia kuhusu Yesu kuwekwa kwenye majaribio.
|
||
|
|
||
|
# wapate kumwua
|
||
|
|
||
|
Hapakuwa wenyewe ambao wangemwadhibu kifo Yesu; badala yake, wangemuomba mwingine kufanya . "wangemwadhibu kifo Yesu" au "wangeweza kupata mwingine kumwadhibu kifo Yesu"
|
||
|
|
||
|
# Lakini hawakuupata
|
||
|
|
||
|
Hawakupata ushuhuda kinyume dhidi ya Yesu ambao wangemtia hatiani na kumwua.
|
||
|
|
||
|
# walileta ushuhuda wa uongo dhidi yake
|
||
|
|
||
|
Hapa anaongea ushuhuda wa uongo unoelezwa kama ilikuwa kama kitu halisi ambacho mtu anaweza kubeba. "Mshitaki kwa kusema ushuhuda wa uongo dhidi yake"
|
||
|
|
||
|
# hata ushahidi wao haukufanana
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuandikwa kwa mtindo wa chanya. "lakini ushuhuda wao haukufanana"
|