sw_tn/mrk/14/37.md

351 B

akawakuta wamelala

"na akamkuta Petro, Yakobo, na Yohana wamelala"

Simoni, je umelala

"Simoni, umelala wakati nilipokuambia kukesha."

Hukuweza kukesha... saa?

"Ungeweza hata kukesha."

Roho inataka kabisa, lakini mwili ni dhaifu.

"Miili yenu haiwezi kufanya kile ambacho akili zenu zinataka ninyi kufanya."

mwili

"mwili unaoonekana"