sw_tn/mrk/13/05.md

386 B

kwao

"kwa wanafunzi wake"

kuwapotosha

Yesu anawaonya wanafunzi wake wasidaganywe na yeyote nini kitatokea. Hapa"kuwapotosha" ni mfano wa kudanganya.

kwa jina langu

Maana talajiwa ni 1)kudai mamlaka yangu" au 2) kudai kuwa Mungu amewatuma"

Mimi ndiye

"Mimi ni Kristo"

watawapotosha wengi

Hapa "kuwapotosha" ni mfano ukimaanisha kudanganya. "nitawadanganya watu wengi"