forked from WA-Catalog/sw_tn
386 B
386 B
kwao
"kwa wanafunzi wake"
kuwapotosha
Yesu anawaonya wanafunzi wake wasidaganywe na yeyote nini kitatokea. Hapa"kuwapotosha" ni mfano wa kudanganya.
kwa jina langu
Maana talajiwa ni 1)kudai mamlaka yangu" au 2) kudai kuwa Mungu amewatuma"
Mimi ndiye
"Mimi ni Kristo"
watawapotosha wengi
Hapa "kuwapotosha" ni mfano ukimaanisha kudanganya. "nitawadanganya watu wengi"