sw_tn/mrk/13/05.md

20 lines
386 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# kwao
"kwa wanafunzi wake"
# kuwapotosha
Yesu anawaonya wanafunzi wake wasidaganywe na yeyote nini kitatokea. Hapa"kuwapotosha" ni mfano wa kudanganya.
# kwa jina langu
Maana talajiwa ni 1)kudai mamlaka yangu" au 2) kudai kuwa Mungu amewatuma"
# Mimi ndiye
"Mimi ni Kristo"
# watawapotosha wengi
Hapa "kuwapotosha" ni mfano ukimaanisha kudanganya. "nitawadanganya watu wengi"