sw_tn/mrk/10/15.md

404 B

yeyote

"kama yeyote"

kama mtoto mdogo

Yesu analinganisha namna gani watu wanapaswa kuupokea ufalme wa Mungu na namna watoto wanavyoweza kuupokea. "katika tabia hiyo kama mtoto angefanya"

asiyeupokea ufalme wa Mungu

"hawataweza kumpokea Mungu kama mfalme wao"

hakika hawezi kuuingia

Neno "kuui" urejea kwa ufalme wa Mungu.

Kisha akawachukua watoto mikononi mwake

"aliwakumbatia watoto"