sw_tn/mrk/09/23.md

1.0 KiB

Kama uko tayari?

Yesu anakemea wasiwasi wa mtu. Hii swali linaweza kuandikwa tofauti au kama sentensi. "Yesy akamwambia, "Kwanini unasema, "kama uko tayari"? au " Yesu alimwambia, 'Usingelikuwa umesema.

unaweza

Inaweza kuwa msaada kuongeza maelezo yaliyokosekana. "unaweza kufanya lolote"

Kila kitu kinawezekana kwa yeyote aaminiye.

Hii inaweza kuandikwa kama dhahania dogo na katika kauli tendaji. "Mungu anaweza kufanya chochote kwa ajili ya watu wanaomwamini yeye"

kwa yeyote

"kwa yeyote mtu"

amini

Hii inarejea kwa kumwamini Mungu.

Nisaidie kutokuamini kwangu

Mwanaume anamuuliza Yesu kumsaidia kushinda kutoamini na kuongezea imani yake. "Nisaidie wakati ninashindwa kuamini" au "Nisaidie kuwa imani zaidi"

kundi linakimbilia kwao

Hii inamaanisha kuwa watu zaidi walikuwa wanakimbilia kule aliko Yesu na kundi lilikuwa linakuwa kubwa.

wewe roho bubu na kiziwi

Maneno "bubu" na "kiziwi" yanaweza kufafanuliwa. "Wewe roho chafu, wewe unaye sababisha kijana kutokuwa na uwezo wa kusikia na kuongea."