forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
1.0 KiB
Markdown
32 lines
1.0 KiB
Markdown
|
# Kama uko tayari?
|
||
|
|
||
|
Yesu anakemea wasiwasi wa mtu. Hii swali linaweza kuandikwa tofauti au kama sentensi. "Yesy akamwambia, "Kwanini unasema, "kama uko tayari"? au " Yesu alimwambia, 'Usingelikuwa umesema.
|
||
|
|
||
|
# unaweza
|
||
|
|
||
|
Inaweza kuwa msaada kuongeza maelezo yaliyokosekana. "unaweza kufanya lolote"
|
||
|
|
||
|
# Kila kitu kinawezekana kwa yeyote aaminiye.
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuandikwa kama dhahania dogo na katika kauli tendaji. "Mungu anaweza kufanya chochote kwa ajili ya watu wanaomwamini yeye"
|
||
|
|
||
|
# kwa yeyote
|
||
|
|
||
|
"kwa yeyote mtu"
|
||
|
|
||
|
# amini
|
||
|
|
||
|
Hii inarejea kwa kumwamini Mungu.
|
||
|
|
||
|
# Nisaidie kutokuamini kwangu
|
||
|
|
||
|
Mwanaume anamuuliza Yesu kumsaidia kushinda kutoamini na kuongezea imani yake. "Nisaidie wakati ninashindwa kuamini" au "Nisaidie kuwa imani zaidi"
|
||
|
|
||
|
# kundi linakimbilia kwao
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kuwa watu zaidi walikuwa wanakimbilia kule aliko Yesu na kundi lilikuwa linakuwa kubwa.
|
||
|
|
||
|
# wewe roho bubu na kiziwi
|
||
|
|
||
|
Maneno "bubu" na "kiziwi" yanaweza kufafanuliwa. "Wewe roho chafu, wewe unaye sababisha kijana kutokuwa na uwezo wa kusikia na kuongea."
|