forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
615 B
Markdown
28 lines
615 B
Markdown
# Eliya na Musa
|
|
|
|
Inaweza kuwa msaada kusema hawa wanaume ni "manabii wawili walio ishi muda kitambo, Musa na Eliya."
|
|
|
|
# walikuwa wakiongea
|
|
|
|
Neno "wa" urejea kwa Eliya na Musa
|
|
|
|
# Petro alimjibu na kumwambia Yesu
|
|
|
|
"Petro alimwambia Yesu." Hapa neno "alimjibu" linatumiwa kumtambulisha Petro katika mazungumzo. Petro alikuwa hajibu swali.
|
|
|
|
# sisi
|
|
|
|
Hili neno urejea kwa Petro, Yakobo, na Yohana
|
|
|
|
# vibanda
|
|
|
|
"mahema" Hii urejea kwa makao rahisi ya muda.
|
|
|
|
# Kwa kuwa hakujua nini cha kusema, waliogopa sana
|
|
|
|
Sentensi hii iliyo kwenye mabano usema maelezo ya nyuma kuhusu Petro, Yakobo, na Yohana.
|
|
|
|
# ogopa
|
|
|
|
kuogopa sana
|