sw_tn/mrk/09/04.md

615 B

Eliya na Musa

Inaweza kuwa msaada kusema hawa wanaume ni "manabii wawili walio ishi muda kitambo, Musa na Eliya."

walikuwa wakiongea

Neno "wa" urejea kwa Eliya na Musa

Petro alimjibu na kumwambia Yesu

"Petro alimwambia Yesu." Hapa neno "alimjibu" linatumiwa kumtambulisha Petro katika mazungumzo. Petro alikuwa hajibu swali.

sisi

Hili neno urejea kwa Petro, Yakobo, na Yohana

vibanda

"mahema" Hii urejea kwa makao rahisi ya muda.

Kwa kuwa hakujua nini cha kusema, waliogopa sana

Sentensi hii iliyo kwenye mabano usema maelezo ya nyuma kuhusu Petro, Yakobo, na Yohana.

ogopa

kuogopa sana