sw_tn/mrk/08/05.md

297 B

Akawauliza

"Yesu aliwauliza wanafunzi wake"

Aliuamuru umati ikae chini.

Hii inaweza kuandikwa kama dondoa ya moja kwa moja. "Yesu aliuamuru umati, 'ukae chini"

kaa chini

Tumia maneno ya lugha ya kwenu kwa namna watu wanakula kimatamaduni kama hakuna meza, aidha kwa kukaa au kujilaza.