forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
297 B
Markdown
12 lines
297 B
Markdown
|
# Akawauliza
|
||
|
|
||
|
"Yesu aliwauliza wanafunzi wake"
|
||
|
|
||
|
# Aliuamuru umati ikae chini.
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuandikwa kama dondoa ya moja kwa moja. "Yesu aliuamuru umati, 'ukae chini"
|
||
|
|
||
|
# kaa chini
|
||
|
|
||
|
Tumia maneno ya lugha ya kwenu kwa namna watu wanakula kimatamaduni kama hakuna meza, aidha kwa kukaa au kujilaza.
|