sw_tn/mrk/07/33.md

1.0 KiB

Alimota nje

"Yesu alimtoa nje"

akaweka vidole vyake kwenye masikio yake

Yesu anaweka vidole kwenye masikio yake.

baada ya kutema mate, aligusa ulimi wake

Yesu anatema mate na kisha anagusa ulimi wa mwanaume.

baada ya kutema

Inaweza kuwa msaada kusema kwamba Yesu alitemea mate vidole vyake.

alitazama juu mbinguni

Hii inamaanisha kuwa alitaza juu mbinguni, ambako kunahusishwa na eneo analoishi Mungu.

Efata

Mwandishi anataka msomaji ajue jinsi neno linavyo sikika, Kwa hiyo andika hii kwa kutumia alfabeti za lugha yako na neno lisike karibu na "effatha" kwa kadri uwezavyo.

Kuvuta pumzi

akavuta pumzi kuonyesha kuwa hakuwa na furaha.

kusema naye

"alisema na mwanaume"

masikio yake yalifunguliwa

Hii inamaanisha alikuwa hawezi kusikia. "masikio yake yalifunguliwa na aliweza kusikia"

Kilichokuwa kimeshikilia ulimi wake kilitolewa.

"Yesu alikitoa kilichokuwa kimeushikilia ulimi wake" au "Yesu aliponya kilichokuwa kimemfanya asiongee vizuri"

kilichokuwa kimezuia ulimi

"kinachomzuia yeye kuongea " au "usemi wake kuwa na kikwazo"