forked from WA-Catalog/sw_tn
44 lines
1.0 KiB
Markdown
44 lines
1.0 KiB
Markdown
|
# Alimota nje
|
||
|
|
||
|
"Yesu alimtoa nje"
|
||
|
|
||
|
# akaweka vidole vyake kwenye masikio yake
|
||
|
|
||
|
Yesu anaweka vidole kwenye masikio yake.
|
||
|
|
||
|
# baada ya kutema mate, aligusa ulimi wake
|
||
|
|
||
|
Yesu anatema mate na kisha anagusa ulimi wa mwanaume.
|
||
|
|
||
|
# baada ya kutema
|
||
|
|
||
|
Inaweza kuwa msaada kusema kwamba Yesu alitemea mate vidole vyake.
|
||
|
|
||
|
# alitazama juu mbinguni
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kuwa alitaza juu mbinguni, ambako kunahusishwa na eneo analoishi Mungu.
|
||
|
|
||
|
# Efata
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anataka msomaji ajue jinsi neno linavyo sikika, Kwa hiyo andika hii kwa kutumia alfabeti za lugha yako na neno lisike karibu na "effatha" kwa kadri uwezavyo.
|
||
|
|
||
|
# Kuvuta pumzi
|
||
|
|
||
|
akavuta pumzi kuonyesha kuwa hakuwa na furaha.
|
||
|
|
||
|
# kusema naye
|
||
|
|
||
|
"alisema na mwanaume"
|
||
|
|
||
|
# masikio yake yalifunguliwa
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha alikuwa hawezi kusikia. "masikio yake yalifunguliwa na aliweza kusikia"
|
||
|
|
||
|
# Kilichokuwa kimeshikilia ulimi wake kilitolewa.
|
||
|
|
||
|
"Yesu alikitoa kilichokuwa kimeushikilia ulimi wake" au "Yesu aliponya kilichokuwa kimemfanya asiongee vizuri"
|
||
|
|
||
|
# kilichokuwa kimezuia ulimi
|
||
|
|
||
|
"kinachomzuia yeye kuongea " au "usemi wake kuwa na kikwazo"
|