sw_tn/mrk/06/10.md

350 B

akawaambia

"Yesu akawaambia kumi na wawili"

kaeni hapo mpaka mtakapoondoka

"kaeni katika nyumba ile mpaka mtakapoondoka katika mji ule."

kama ushuhuda kwao

"kama ushuhuda kinyume nao." Inaweza kuwa msaada kueleza namna hili tendo lilikuwa ushuhuda kwao. "kama ushuhuda kwao. Kwa kufanya hivyo, utaweza kushuhudiwa kuwa hawakuwakaribisha"