sw_tn/mrk/06/04.md

420 B

kwao

"kwa umati"

Nabii hakosi heshima ila

Ni hakika kabisa kwamba wananiheshimu na manabii wengine wa sehemu nyingine,lakini si ndani ya miji tuliozaliwa! Hata kidogo na watu wanaoishi katika nyumba zetu hawatuheshimu!"

aliwawekea mikono wagonjwa wachache

"kuwawekea mikono" inarejea kwa nabii au mwalimu kuweka mikono yake kwa yeyote na kutoa aidha uponyaji au baraka. Katika jambo hili, Yesu anaponya watu.